hio ni common error ya tecno, fanya kuondoa battery na uangalie kwenye hasi(-) na chanya(+) za kwenye battery kama zina ukungu wa uchafu ukwaruze utoke, kisha weka batterry na uchomeke cm kwenye charge hata kama haionesh kama inachaj iache baada ya muda itajiwasha yenyewe...
N:B.uwe na subira!