Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,067
- 43,498
toa battery then ieke mahala pazuri, kitu risk kinachoweza kuharibu simu ni hio batteryThanks chief,ila nlkua nakuulza et sim ikikaa mda mref bila kutumika inaharibika?,coz nna mpango wa kwenda boarding simu ntaiacha nyumban
Battery ni non-removabletoa battery then ieke mahala pazuri, kitu risk kinachoweza kuharibu simu ni hio battery
sawa haina nenoBattery ni non-removable
Asante sana Chiefsawa haina neno
yap zinatumiwa na oem wakubwa ila umeshawahi kufanya hata research ya dakika mbili kuhusu utofauti wa simu za mediatek na za qualcomm au exynos za kampuni moja?
hebu search tofauti ya meizu mx5 na meizu pro 5, au xperia c5 na wenzake wa qualcomm uone. sony ilikuwa ni moja ya kampuni inayosifika kwenye battery life na simu kama z3c zinakaa na chaji kupita kiasi kwa kibattery kidogo cha 2600mah, ila cheki za mediatek sasa ni aibu.
kuhusu tecno zipo sababu nyingi na kila siku naongea na kila siku nawauliza hili swali na kila siku hamulijibu na leo pia nitaliuliza tena. JE NI TEST GANI AU NI NCHI IPI TECNO IMEPASS SAR VALUE KUWA INAFAA KWA MATUMIZI YA BINADAMU? leo hii waziri husika au wewe munatuhakikishia vipi kuwa simu zote za kichina zinazouzwa Africa tu ni salama kwetu?
leo hii zikija kugundulika zina madhara kwa kampuni ya simu hata isiojulikana HQ zipo wapi utamdaka nani?
siku nyengine usifananishe kabisa Tecno na Huawei/Samsung/Sony/Lg nk
Sio ivo kuuliza sio ujinga kama ilikuwa 3g auto ika update ikawa only nikajua 4g itakuwepoHa ha ha jamaa anataka marshmallows yenye 4g....
Tatizo la elimu yetu ilipaswa ICT liwe somo kuanzia level flan za msingi
wanafundishwa sasa hivi mashuleni kuna somo linaitwa TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano)Ndio maana nikataka mkuu tuwe tuna brashiwa mapema shule ili tujue hardware na software/application.
Mimi nilisoma kipindi ya masomo 6wanafundishwa sasa hivi mashuleni kuna somo linaitwa TEHAMA (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano)
haitatokea hata siku moja ww subili tu mpaka utachoka wakati simu zingine zilishapokeaWakuu february ndio ileeeee inaelekea jioni, any newz kuhusu update ya tecno C8.
Subira ya vuta heri mkuu ngoja tuendelee kusubiri.haitatokea hata siku moja ww subili tu mpaka utachoka wakati simu zingine zilishapokea
Mkuu ww ni mtaalam wa IT, hivi hizi smartphone tununue Kampuni gani tuone Value for Money mkuu?Chief-Mkwawa katika ubora wake.
Mkuu ww ni mtaalam wa IT, hivi hizi smartphone tununue Kampuni gani tuone Value for Money mkuu?Yah hizo Ni update za kawaida za skin ya tecno (sijui initwaje) na si update za os yaani android.
Though sio mbaya ILA bado sana
Ata mimi ndio hicho nasubiri hahaha..... Sijui watakuwa wametudanganyaMwenyewe naisubiri kwa hamu hiyo Marshmallow ndio niuze C8. Ngoja tuone