Japo mi situmii wala siwez kutumia Tecno kama ambavyo siwez kutumia Huawei na Samsing au Sony pia ila sioni tofauti kwa matumizi ya kawaida. Mi natumia blackberry. Na sio kubwa natumia Curve na 9800 ila pia kwa sababu ya kupata picha nzur na fashion pia ya simu za wide screen na touch nimeamua kutumia Nokia pia. So ishu ya simu inategemea sana uhitaji wa mtu. Sioni haja ya kuponda simu wanazotumia wenzako. Chief anaponda tecno ukimuuliza anakwambia prossesor ndogo magem yanakuwa mazito hajui kuwa kuna watu kama mm ambao sichez game kabisaaaa so hichi kigezo hakinihusu kabisa.
kila mtu ana haki na anapaswa kuwa na elimu ya kitu anachofanya. mimi natengeneza awareness tu hapa uamuzi wa kununua ni wako na utaendelea kuwa wako milele.
wangapi wamenunua tecno C5 japo tumewaonya haitakubali 4g na still wakanunua na still wakafungua thread sa msaada kwaninia simu zao hazikubali 4g?
chip kwenye simu ni muhimu sana tena sana haishii kwenye processor na gpu tu kuna mambo kama.
1. modem- hapa utapata mambo kama 3g na 4g na speed na hata ukipiga simu kama zinakata kata sometime soc kimeo huweza sababisha
2. camera mechanism na alogarithm zinaendeshwa na soc hivyo unaweza kuwa na camera yenye hardware nzuri ila soc ikawa kimeo mwisho wa siku ukapata experience mbaya mf lumia 1020.
3. malware- angalia simu za mediatek zinavyoathirika sana na malware, sisemi snapdragon haziathiriki ila soc mpya za sd zote zinafight malware kuanzia hardware level ndo mana thread za tecno haziishi humu.
4. lag za simu- ndio huchezi games ila una user interface, ios zipo smooth sababu siku zote iphone zina gpu kubwa. smu ikiwa na gpu kimeo hata launcher kuihandle ni matatizo.
4. ukaaji wa chaji- mediatek siku zote inakunywa chaji sana na zipo pia soc za sd zinakunywa chaji sana ila zipo soc za sd ni energy efficient kama sd 800/801 unakuta simu zina vibattery vidogo kama 2600mah then zinazishinda simu za mediatek zenye 4000mah.
kuna mambo mengi sana ila huwezi kuyaandika kwenye comment kama hivi nikipata time nitaanzisha thread kabisa