atomic clock
Member
- Mar 30, 2014
- 35
- 9
Mnaodisi simu za tecno kuwa zinatumia machip cheap ya Mediatek mbona hamsemi kuhusu kuhusu tecno p3 inayotumia Qualcomm SoC ikiwa na MSM7225AB cpu, adreno 200 gpu?
Pamoja na kuwa na chip hii still inauzwa bei rahisi !
Pamoja na kuwa na chip hii still inauzwa bei rahisi !