Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 Oct 9, 2013 #1 Habari wana JF?? Naomba kujua bei na uwezo wa hizi simu.Nawasilisha.
Ndumbayeye JF-Expert Member Joined Jan 31, 2009 Posts 7,420 Reaction score 4,032 Oct 9, 2013 #2 ​kama unataka kununua pata kitu tecno f7 au f8 bei karibu 400,000/
Linamo JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 9,976 Reaction score 24,498 Oct 9, 2013 Thread starter #3 Ndumbayeye said: ​kama unataka kununua pata kitu tecno f7 au f8 bei karibu 400,000/ Click to expand... Ndio nataka kununua ila hiyo hela ndefu sana....mi nilikuwa nataka kujua bei za Tecno n70 au n3....
Ndumbayeye said: ​kama unataka kununua pata kitu tecno f7 au f8 bei karibu 400,000/ Click to expand... Ndio nataka kununua ila hiyo hela ndefu sana....mi nilikuwa nataka kujua bei za Tecno n70 au n3....
K kahama kwetu Member Joined Jan 8, 2013 Posts 24 Reaction score 1 Jan 1, 2014 #4 nitafute nauza laki mbili bado mpya haina scratch utaipata kwenye box. mzigo in piga ndio natumia kama moderm (techno 7)
nitafute nauza laki mbili bado mpya haina scratch utaipata kwenye box. mzigo in piga ndio natumia kama moderm (techno 7)
S supernic Member Joined Oct 19, 2012 Posts 19 Reaction score 9 Jan 1, 2014 #5 mimi natafuta tecno f8 yeyote alienayo ani pm
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Jan 2, 2014 #6 Mi natumia TECNO N3,bei ni 150,000.