Wakuu,habari zenu,kuna mdogo wangu ameifanyia hard reset Simu yake Tecno n2 ambayo amenunua tigo shop sasa baada ya kufunguka na kufuata hatua zote ili aweze kuitumia amekwamia njiani inaseach kwenye WiFi kama picha zinavyonyesha
Aunganishe kwenye Wi-Fi au mobile data atabofya next baada ya kuwa connected, aingize email na password iliyokuwa inatumika kwenye hiyo simu.
Kama atajaza taarifa sahihi itafunguka.