Tayo zeboss
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 467
- 196
Kama nikiitaka ntaipataje maana mimi nipo kigoma kijiji cha mshwabure mpakani mwa burundi maana mimi shoping zangu naona bora niende burindi mkoa makamba kuliko tanzania ni mbali sana.
Tatizo ni umbali mkuu ila ilikuwa ya kuchukua. Fulsa kwa waliopo karib na we2
Unapatikana wapi mkuu?
Dah..! Mbali sana kaka!
Ok kwa ukweli ni mbali, basi siku nkija dar ntatafuta cmu yoyote
elf50 Unachkua?Npo dar mkuu maeneo ya airport
Chukua 80000 contact 0758293598