Tecno k9

Tecno k9

Waungwana tecno k9 inagoma kuwaka tochi pia camera inapiga ya mbele ila ya nyuma haionesh sehem ya kuigeuza ili iweze kupiga sijui shida nini?
Hizo k9 zimefeli kutokana na matitizo kama hayo na sasa wamesitisha kutengeneza tena.
 
Hauwez ukasema haupend upumbavu alafu bado unatumia tecno
 
Waungwana tecno k9 inagoma kuwaka tochi pia camera inapiga ya mbele ila ya nyuma haionesh sehem ya kuigeuza ili iweze kupiga sijui shida nini?
Shida ni wewe mkuu kama simu haiwaki matatizo yote hayo umeyaonaje ?
 
Back
Top Bottom