HABARI ZA LEO , Ndugu zangu ninaomba msaada simu yangu ya tecno h5 imenigomea baada ya kuiwipe data na cache yaani inawaka alafu kwenye skrini haioneshi kitu ni mwanga tu ndo upo alafu kuna mstari wa bluu kwa juu sasa nifanyaje msaada ndugu zangu
HABARI ZA LEO , Ndugu zangu ninaomba msaada simu yangu ya tecno h5 imenigomea baada ya kuiwipe data na cache yaani inawaka alafu kwenye skrini haioneshi kitu ni mwanga tu ndo upo alafu kuna mstari wa bluu kwa juu sasa nifanyaje msaada ndugu zangu
Kwani wewe ndo umebrick hyo h5?
Ukiwa mwoga hutoweza kujifunza hivi vitu...tutorial ni zile zile tu.kwaiyo hta nkikuelekeza mimi ni sawa na ulivyoona google huko.