Chances are ungeenda Tigo shop ungekuta bei ni juu kuliko huko Tecno house kwenyewe.Yaanii hawa jamaa naona sijuii bei zao za wapiii..
Wanipe location.
Maana mimi nime nunuaaaa tecno house kwenyewe.
Yea, enjoy.Beiii umesema lakii 4 si ndiooo
Huyu ni dalali atakuwa...ndio maana wanakosa wateja...kitu cha laki mbili unaanzia laki nne duh!Hapana isipokua nimemaanisha ya kua unaiuza Camon 11 pro kwa bei kubwa wakati successor wake ambaye ni Camon 12 na 12 Pro bei ni chini mno ya bei unayouza hii Camon 11 Pro. Almost Laki nzima.