Habari nipeni ufumbuzi katika hili .natumia tecno c9.kuna tatizo limejitokeza LA kupoteza network ukiweka lain inaandika no service or emergency... Nkienda baaz ya sehem lain inasoma ...nmejaribu kuset mobile network Hamna kilichosaidia..
Camera naiuza njoo na 800k ni mpya kabisa njoo inbox tuongee haina tatizo lolote ni mpya kabisa imetumika miezi mitatu tu bland Nikon D3500 pia Nina copy machine HP coloured nayo ni mpya ina miezi mitatu tu lisit zipo INA warranty zake bado hazijaisha bidhaa in good conditions wala haina tatizo lolote njoo inbox tuongee maongezi na kupunguziana kupo
Habari nipeni ufumbuzi katika hili .natumia tecno c9.kuna tatizo limejitokeza LA kupoteza network ukiweka lain inaandika no service or emergency... Nkienda baaz ya sehem lain inasoma ...nmejaribu kuset mobile network Hamna kilichosaidia..