Kama unatumia tecno c8 na bado hujafanya update ya android 6.0 (Marshmallow) with HiOS ingia kwenye link hii na ufuata maelekezo.
Yapo kwa kiswahili ukikwama uliza utajibiwa.
Mkuu hilo lipo nje ya uwezo wangu. Kama upo dar nenda kwenye ofisi zao utapa msaada zaidi.
Ofisi zao zipo Jumbo katika jengo la NHC, Posta mtaa wa Samora na Phone 1 Mlimani city.
Sawa mkuu kama imezima tumia volume up na power batan ikiandika no comand. Badilisha utaratibu anza kubana power batan kisha volume up yatakuja maandishi ya blue. Nenda hadi update from sd card cahgua lile file ulilo dawnload utaliona tu kwasababu unashauriwa usilielweke ndani ya folder yoyote kwenye memory. Ukilichagua subiri hadi imalize ku upgrade.
Lkn hakikisha una hilo file likiwa kamili 867.77mb au 868 mb
Hilo file la update ukili dawnload lihamishe kwenye memory card lakini liwe nje ya folder za memory usiliweka ndani ya folder lolote lile kisha fuata hizo hatua.
Hilo file la update ukili dawnload lihamishe kwenye memory card lakini liwe nje ya folder za memory usiliweka ndani ya folder lolote lile kisha fuata hizo hatua.