Mkuu naomba kujua jambo hili
'kuna bwana mmoja aliwahi kueleza kuhusu localbitcoin na ktk maelezo yake alisema kwamba
WAWEZA WEKEZA 327 ELFU THEN UKAWA UNAVUNA KAMA 5 ELFU KW CKU je hii ni kweri? na kama ni kweri nianzie wapi mchakato huu?
Mkuu naomba kujua jambo hili
'kuna bwana mmoja aliwahi kueleza kuhusu localbitcoin na ktk maelezo yake alisema kwamba
WAWEZA WEKEZA 327 ELFU THEN UKAWA UNAVUNA KAMA 5 ELFU KW CKU je hii ni kweri? na kama ni kweri nianzie wapi mchakato huu?