Technologia ya vyombo vya dola vya ufaransa


Hakuna alieacha ID kwenye gari. ...kilichofanya wakagundulika ni vidole na DNA. .....mdogo mtu ameshakaa rumande kwa miezi kama minne kwa sababu ya mambo haya ya kigaidi kisha akaachiwa. ...kaka mtu nae amewahi kukamatwa na police. .......picha tulizoziona kwenye tv ni picha ambazo zikishatoka kwenye magazeti mwaka 2007
 
wnakuza picha wanavuta mtu karibu, wanadeala na sura , wanaanza kudeal na layer moja baada ya nyingine hadi sura ya mtu inapatikana, ni rahis tu
 
.
in the recent Paris shootings, police have identified the alleged perpetrators by means of an ID card which one of them CONVENIENTLY left in the getaway car.
Analysts have pointed out that the attack was carried out with military precision and skill.If you watch the footage of the getaway (shot by Amchai Stein, deputy editor of Israel's IBA Channel 1, who "just happened" to be on the scene), the perps wore hoods over their faces: they clearly did not want their identities known. Why, then, after all this precision, did they carelessly leave identification in the car? Could it be that the masked shooters were NOT the same men whom the ID card has sent the police chasing after? (Perhaps the Mossad believes all French detectives are Inspector Clouseaus, but more likely they rely on compliant Freemasons within Law Enforcement who will obey their Masonic oaths of absolute obedience and secrecy in exchange for promotions and other material rewards.)
A detailed, ongoing debunking of the Charlie Hebdo shootings may be found at: http://www.jimsto nefreelance.com/..

henrymakow.com - Exposing Feminism and The New World Order
 
Hivi mnaojadili humu mko dar au ughaibuni??? ughaibuni issue ikishatoka tu kwenye tv kama ile watu wa mtaani wanapiga hata simu kwa polisi kusema ile address kuna two missing persons...wajomba wanacheck wanaoishi hapo then wanafuatilia...watu wote nchi nzima mko kwa data easy kupatikana sio bongo nchi haina record ya wananchi wake...inapokua fununu then ndo wanaingia deep na hayo yote dna,vidole,n.k....na ikiwa kama ndo ulishaingia mikononi mwa sheria ndo easy zaidi ni kama kumsukuma mlevi unapatikana haraka sana..
 
Drone haiwi programmed,inaongozwa toka ardhini.
wakati wa torabora drone zilikua hazijawa active vitani.
 
Kama walikua wamevaa gloves ni ngumu kupata alama za vidole na kwajinsi walivyokua wamevaa hood kichwani,uwezekano wa kudondosha unywele ambao ungetumika kumach DNA ni mdogo.labda kama ni wavuta sigara vikutwe vipisi.
 
Walikua tayari na rekodi polisi,lakini dna au alama za vidole si njia waliyotumia kuwafahamu,kwani walikua wamevaa hood sasa ingekua kazi kupata unywele waufanyia dna test.kuhusu alama za vidole itakua walikua wamevaa gloves kwahiyo hawawezi kupata alama ,labda kama za mda mrefu kama walizipata.
pia hao jamaa askari walikua wazembe mpaka gunmen wakaweza kutoka nje ya paris badala wangewahi kuuseal mji.
walikimbilia msituni na askari mpaka keshoyake asubuhi hawakuwa wamewapata mpaka hao jamaa walipo breakcover(kujitokeza)na kuteka gari wakijaribu kurudi paris na car chase ikaanza na kuishia katika ghala
 
Duuhh!!!!!
Tuwaombeni waje bongo hao maaskari.Maana kova kawashindwa PANYA tu!
 
hahahahaaaaa! kovaaaa, kwa hyo kule france hata ukoplo hapati?
 

Mkuu nakupa like, umeniconvice haswa. Tiririka basi na carlos walimkamataje huko sudan
 
Kama walikua wamevaa gloves ni ngumu kupata alama za vidole na kwajinsi walivyokua wamevaa hood kichwani,uwezekano wa kudondosha unywele ambao ungetumika kumach DNA ni mdogo.labda kama ni wavuta sigara vikutwe vipisi.

mkuu hapa marekan ata kama umevas baibui na kininja picha yako inawekwa kwenye computer kuna program zinakuvua ulivyojifunika na sura yako inaonekana
 
Hapo naona kutakuwa na programu maalum kwa ajili ya vitu kama hivyo na wale jamaa wakati wanaingia kwa gari walikuwa wamevaa gloves kwenye mikono yao hivyo ni viashiria kuwa ni vigumu kuacha alama za vidole,hii inaonyesha technologia kwa wenzetu iko juu sana na wamejipanga kwa matukio ya kihalifu,nakubaliana na baadhi ya wachangiaji kuwa hata sautinayo ni viashiria vya kukubaini muhusika au muhalifu.Pale nilichoona jamaa hawakuamini kama picha na sura zao zingejulikana muda mfupi thus why wakawa wanapata taabu na wanaangaika watoke paris usiku na mchana.Je hiyo programu inaitwaje kitaalamu watu wa inteleginsia na IT please
 

Duh,,,,,umeongea point kaka
 

Hahahaahaaaa......huwa naipenda sana hyo muvi...hasa kwenye hko kipande!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Magaidi ni viazi kichizi kuna mmoja alienda na ID,,ha ha aisee
 
kilicho wafanya kuweza kutambua sura za magaidi wale ni:-
1.kuwa na kamera kila maeneo muhimu ya nchi yao ambapo wa2 huingia na kutoka eg airport,railway station etc
2.kuwa na wataalamu wa hali ya juu waliobobea katika taaluma ya kusoma body characteristic za m2 hii ndio msingi wa upatikanaji kiurahisi kwa magaidi hao, kwa wataalamu wanasema kila binadamu hutofautiana katika body characteristic kwa hiyo ni rahisi kwa m2 yeyote kujulikana sura yake hata kama alikuwa amevaa kinyago.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…