UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 566
Hi the greatest thinkers kutoka pande zote East Africa na kwingineko duniani.
Kuna ndugu yangu Fulani ni mbishi yupo kijijini alifeli kidato cha NNE.Ana miaka minne mtaani kurudia hataki.
Nikamshauri aende veta ndugu tukajichanga kapiga hela na mademu kalizimia kwenye gia.Nikamshauri jifunze welding udereva au hata utingo kaziba masikio.
Vijana wenzie wanachakalika wanapata riziki yeye misele kitaa kiburi mtindo mmoja anasubiri vya kupewa.
Kumuacha nashindwa inafikia ananichukia eti nampigia kelele lkn Kwa faida yake hivi sasa kajaza mimba mtoto wa watu kitaani
Sasa Jf ni sehemu ya watu wenye akili sana je ni technical advice gani ama ikiwezekana intelligence itumike ama brain washing pia itumike ili asije amka kumekucha.Karibuni sana waungwana.
Kuna ndugu yangu Fulani ni mbishi yupo kijijini alifeli kidato cha NNE.Ana miaka minne mtaani kurudia hataki.
Nikamshauri aende veta ndugu tukajichanga kapiga hela na mademu kalizimia kwenye gia.Nikamshauri jifunze welding udereva au hata utingo kaziba masikio.
Vijana wenzie wanachakalika wanapata riziki yeye misele kitaa kiburi mtindo mmoja anasubiri vya kupewa.
Kumuacha nashindwa inafikia ananichukia eti nampigia kelele lkn Kwa faida yake hivi sasa kajaza mimba mtoto wa watu kitaani
Sasa Jf ni sehemu ya watu wenye akili sana je ni technical advice gani ama ikiwezekana intelligence itumike ama brain washing pia itumike ili asije amka kumekucha.Karibuni sana waungwana.