macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,347
- 57,253
Ukishazoea kupokea fedha chafu za Michango na harambee kutoka kwa Wanasiasa Mafisadi mwisho wake huwa ndio huo wa kuwa mateka.Ninawasifu Waislamu na Baraza lao la Maulemaa kwani walikataa kabisa kuwa Watumwa wa hawa Mafisadi.TEC is a major disappointment to all of us.
Ukishazoea kupokea fedha chafu za Michango na harambee kutoka kwa Wanasiasa Mafisadi mwisho wake huwa ndio huo wa kuwa mateka.Ninawasifu Waislamu na Baraza lao la Maulemaa kwani walikataa kabisa kuwa Watumwa wa hawa Mafisadi.TEC is a major disappointment to all of us.
[MKUU UTAKUWA UMEMSAHAU SHEIKH ABDALLAH PALE MWANZA NA 500m cash money.]
Mkuu kumbuka nimesema ni tetesi, na kisha bado haijulikani kama TEC watakubali kama hizi tetesi ni za kweli! Usiwahukumu!
Ukishazoea kupokea fedha chafu za Michango na harambee kutoka kwa Wanasiasa Mafisadi mwisho wake huwa ndio huo wa kuwa mateka.Ninawasifu Waislamu na Baraza lao la Maulemaa kwani walikataa kabisa kuwa Watumwa wa hawa Mafisadi.TEC is a major disappointment to all of us.