Katika pita pita zangu kwenye viunga vya mitandao ya kijamii Twitter, JF, Instagram n.k. kuna namna kifo cha Mzee wetu Khamenei kimewachanganya akili vibaya mno, hasa wale wenzangu wa imani. Mihemko, hisia kali, na wengine wanatoa maoni na kuandika mambo ya kuchekesha na kusikitisha. Kifo hiki cha Khamenei kimewagawa Waafrika kuliko hata Wairan wenyewe; inashangaza.
Mimi niseme: aliyekuzidi kakuzidi, ukifurukuta kwa mihemko bila akili tu utachapika. Hapa ni kurudi kwenye drawing table na kujipanga upya, hamna namna. Akili zitumike, tuondoe hasira.
Tears everywhere.
Mimi niseme: aliyekuzidi kakuzidi, ukifurukuta kwa mihemko bila akili tu utachapika. Hapa ni kurudi kwenye drawing table na kujipanga upya, hamna namna. Akili zitumike, tuondoe hasira.
Tears everywhere.