VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Ndani ya CCM, kuna Wabunge wanaomuunga mkono aliyekuwa mgombea wa Urais wa CHADEMA/UKAWA, Ndugu Edward Lowassa. Wapo waliojipambanua mwanzoni na mwishoni 'ku-act' kama wamemuacha mkono na kujiunga na aliyekuwa mgombea wa CCM, Rais Magufuli. Hapa waweza kutajwa akina Peter Serukamba, Hussein Bashe na Kangi Lugola.
Pia, wapo wale Wabunge ambao hawakuwahi kujipambanua hadharani kuwa wanamuunga mkono Lowassa. Lakini, kuanzia wakati ule hadi sasa, wao ni wafuasi wa kutupa wa Lowassa. Baada ya kupendekezwa na kuidhinishwa kwa Waziri Mkuu, Rais akishauriana na Waziri Mkuu atateua Baraza la Mawaziri.
Wale team Lowassa watakwepwaje? Wakiingia Serikalini kama Mawaziri au Manaibu Mawaziri watatenda bila kikwazo? Najiuliza tu
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Pia, wapo wale Wabunge ambao hawakuwahi kujipambanua hadharani kuwa wanamuunga mkono Lowassa. Lakini, kuanzia wakati ule hadi sasa, wao ni wafuasi wa kutupa wa Lowassa. Baada ya kupendekezwa na kuidhinishwa kwa Waziri Mkuu, Rais akishauriana na Waziri Mkuu atateua Baraza la Mawaziri.
Wale team Lowassa watakwepwaje? Wakiingia Serikalini kama Mawaziri au Manaibu Mawaziri watatenda bila kikwazo? Najiuliza tu
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)