Mwalimu wa English na Civics anatafuta nafasi ya Kazi ambayo atafanya Kazi kama volunteer, ana B.A.Education. Ana very good English proficiency. Kwa shule au yeyote mwenye uhitaji anapatikana kwa Namba 0657396928
Ninacho kiamini ...Haijarishi unamuonekano gani?? Either unamvuto au hauna mvuto,unapesa au haunazo, unaelimu au hauna elimu.. ila lazima kuna mtu hali halali kwa ajiri yako.....katika mafumbo ambayo tulipewa binadamu hili nalo ni fumbo kupita maelezo...sometimes kuna mtu ke/me unakuwa unampenda haswaa lakini yeye wala hata hakufikirii anayemfikiria siri yake mwenyewe. Na huyu anayemfikiria yeye wala hana hata mpango anamfikiria mtu mwingineee alooo raha sana aisee