Sasa ulitaka wanyamaze mnapo potosha?Hii Tume ya Vyuo Vikuu sasa imekuwa ni kama sehemu ya kufanyia siasa. Kila siku wana-make headlines kweye magazeti.
Jumamosi? Wengine hawafanyi kazi jumamosi,Habari inazagaa tangu juzi inakanushwa leo?
unaongea nni wwe?Jumamosi? Wengine hawafanyi kazi jumamosi,
Niletee measuring tape, unadhani mtu tu anaamua kuita press na kukanusha without office kujua? Unadhani mambo yanafanywa kiholela tu?unaongea nni wwe?
Suala kama hilo ati hatufanyi kazi jmosi?
Jipime aiseeh...
Kama hufahamu shughuli za dharula za kiofisi piga kimyaNiletee measuring tape, unadhani mtu tu anaamua kuita press na kukanusha without office kujua? Unadhani mambo yanafanywa kiholela tu?
Kukanusha uongo ni dharura? (Sio dharula), kajifunze jinsi ofisi zinavyofanya kaziKama hufahamu shughuli za dharula za kiofisi piga kimya
Kwa maana hiyo kazi ya kupotosha ni kazi ya mtendaji mkuu ? Mbona hueleweki mkuuMbona naona kama alieandaa lile tangazo ndio anatakiwa kuwa Mtendaji wa TCU!!
Mkuu namanisha tangazo liliandaliwa kiufundi na likasadifu maudhui yote ya TCUKwa maana hiyo kazi ya kupotosha ni kazi ya mtendaji mkuu ? Mbona hueleweki mkuu