wadau nlikuwa not selected first round tena kwenye kozi nioizoomba lakini Leo nashangaa UDSM wametoa majina ya waliodahiliwa na LA kwangu lipo afu huku nishafanya reapplication sasaa hawa nashindwa kuwaelewa kabisa.
et jaman wadau nlikuwa not selected first round tena kwenye kozi nioizoomba lakini Leo nashangaa UDSM wametoa majina ya waliodahiliwa na LA kwangu lipo afu huku nishafanya reapplication sasaa hawa nashindwa kuwaelewa kabisaaa
Ndo maana hata siku ile nilikwambia kwa matokeo uliyotoa siku ile haikuwa rahisi kutokuchaguliwa. nikakupa matokeo ya dogo angu mwenye CCD na nikakweleza kuwa alipata Civil UDSM, sasa hailuwa rahisi wewe kukosa
Ndo maana hata siku ile nilikwambia kwa matokeo uliyotoa siku ile haikuwa rahisi kutokuchaguliwa. nikakupa matokeo ya dogo angu mwenye CCD na nikakweleza kuwa alipata Civil UDSM, sasa hailuwa rahisi wewe kukosa
et jaman wadau nlikuwa not selected first round tena kwenye kozi nioizoomba lakini Leo nashangaa UDSM wametoa majina ya waliodahiliwa na LA kwangu lipo afu huku nishafanya reapplication sasaa hawa nashindwa kuwaelewa kabisaaa