TCU WANANYANYASA WANAFUNZI

TCU WANANYANYASA WANAFUNZI

AZUSA STREET

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
2,007
Reaction score
1,898
nimejiuliza kitu fulani:

1. TCU wameamua kuweka grade ya aina ya masomo wanayoyaita priority na mengine wanayosema sio priority. yale ambayo ni priority kwa kawaida wanatoa full load, yale ambayo sio priority wanatoa nusu nusu.

2. wanafunzi wengi wanatoka vijijini, masikini kabisa, walipojua kuwa wanaweza kukosa mkopo wa full, wakaamua wote kurundikana kwenye priority courses. chuo kimoja kinataka hiyo course ya priority wanataka watu 200 wanafunzi walioapply ni 4,000 sio kwasababu wanazipenda hizo course bali kwasababu hawana hela ya kuongeza kweney ada. matokeo yake wamekosa wanaambiwa waanze tena kurudia application.

3. wanafunzi waliochunjwa hata kabla hawajapata chuo au kuanza chuo, washakuwa frustrated. hivi aliyebuni huo mfumo wa ukopeshaji, lengo lake hasa lilikuwa ni nini?

4. kwasababu watz wengi ni masikini hawawezi kuchangia, wapewe mkopo full na watarudisha, si wanasema hela zinakusanywa sasa awamu hii, si wakopeshe wanafunzi wasome sasa? full load.

5. jana wakati wanaongea kwenye tv, msomi mzima namshangaa analaumu wanafunzi ati kwanini wamerundikana kwenye course moja mfano ya land valuation, amesahau kuwa wao ndo wanawalazimisha wanafunzi warundikane na hiyo ni evidence kwamba wanafunzi wengi hawana uwezo kulipa ada kwa kuchangia ndo maana kila mtu amekimbilia kwenye priority courses. hao wasomi maofisini hawajui hilo? mnafanya nini ofisini kama mnashindwa kuelewa hayo?​
 
mkuu tcu wameanza kutoa mikopo lini?
ni akina nani wamepata mikopo kutoka tcu?
Mbona inazba mackio kwa kutojua ktk kitabu cha muongozo Tcu guideline kuna orodha ya vyuo na koz zake na mbali zaid hzo kpz zmeoneshwa priority or no prority in loans
Hvyo bas unatakiwa kujua hilo kuna connection btn koz na loans
 
Mbona inazba mackio kwa kutojua ktk kitabu cha muongozo Tcu guideline kuna orodha ya vyuo na koz zake na mbali zaid hzo kpz zmeoneshwa priority or no prority in loans
Hvyo bas unatakiwa kujua hilo kuna connection btn koz na loans
kuna connection kubwa kati ya maisha masikini ya watanzania na iyo issue ya priority courses. watoto wengi ni wa masikini na walienda kurundikana kwenye priority. waondoe hizo priority, kwasababu mtu anakopa mkopo wa kulipa, waachwe waamue course yoyote, si mkopo?
 
kuna connection kubwa kati ya maisha masikini ya watanzania na iyo issue ya priority courses. watoto wengi ni wa masikini na walienda kurundikana kwenye priority. waondoe hizo priority, kwasababu mtu anakopa mkopo wa kulipa, waachwe waamue course yoyote, si mkopo?
N kwel mkuu
Mm niliomba course ya priority still nkapewa mkopo nusu
Aiseee nilijibana xn
Ila namshukuru mungu nmemaliza
 
bado hujamuelewa halaf nadhan ww hujaa aply vyuo mwaka huu
Mbona inazba mackio kwa kutojua ktk kitabu cha muongozo Tcu guideline kuna orodha ya vyuo na koz zake na mbali zaid hzo kpz zmeoneshwa priority or no prority in loans
Hvyo bas unatakiwa kujua hilo kuna connection btn koz na loans
idd nipo provissionally selected tangu jumanne..
then tuje huku kwenye mada..heslb ndo wanaratibu kila kitu kuhusu mikopo..hata priorities wanapanga wao..wanachofanya tcu ni kukuonyesha wewe wakati unaomba kozi kuwa kozi hii ni kipaumbele ama si..tcu hawapangi vipaumbele vya mikopo...mnawalaumu bure tu
 
nimejiuliza kitu fulani:

1. TCU wameamua kuweka grade ya aina ya masomo wanayoyaita priority na mengine wanayosema sio priority. yale ambayo ni priority kwa kawaida wanatoa full load, yale ambayo sio priority wanatoa nusu nusu.

2. wanafunzi wengi wanatoka vijijini, masikini kabisa, walipojua kuwa wanaweza kukosa mkopo wa full, wakaamua wote kurundikana kwenye priority courses. chuo kimoja kinataka hiyo course ya priority wanataka watu 200 wanafunzi walioapply ni 4,000 sio kwasababu wanazipenda hizo course bali kwasababu hawana hela ya kuongeza kweney ada. matokeo yake wamekosa wanaambiwa waanze tena kurudia application.

3. wanafunzi waliochunjwa hata kabla hawajapata chuo au kuanza chuo, washakuwa frustrated. hivi aliyebuni huo mfumo wa ukopeshaji, lengo lake hasa lilikuwa ni nini?

4. kwasababu watz wengi ni masikini hawawezi kuchangia, wapewe mkopo full na watarudisha, si wanasema hela zinakusanywa sasa awamu hii, si wakopeshe wanafunzi wasome sasa? full load.

5. jana wakati wanaongea kwenye tv, msomi mzima namshangaa analaumu wanafunzi ati kwanini wamerundikana kwenye course moja mfano ya land valuation, amesahau kuwa wao ndo wanawalazimisha wanafunzi warundikane na hiyo ni evidence kwamba wanafunzi wengi hawana uwezo kulipa ada kwa kuchangia ndo maana kila mtu amekimbilia kwenye priority courses. hao wasomi maofisini hawajui hilo? mnafanya nini ofisini kama mnashindwa kuelewa hayo?​
umeandika kitu cha msingi sana sijui tcu itawafikiaje asee
 
nimejiuliza kitu fulani:

1. TCU wameamua kuweka grade ya aina ya masomo wanayoyaita priority na mengine wanayosema sio priority. yale ambayo ni priority kwa kawaida wanatoa full load, yale ambayo sio priority wanatoa nusu nusu.

2. wanafunzi wengi wanatoka vijijini, masikini kabisa, walipojua kuwa wanaweza kukosa mkopo wa full, wakaamua wote kurundikana kwenye priority courses. chuo kimoja kinataka hiyo course ya priority wanataka watu 200 wanafunzi walioapply ni 4,000 sio kwasababu wanazipenda hizo course bali kwasababu hawana hela ya kuongeza kweney ada. matokeo yake wamekosa wanaambiwa waanze tena kurudia application.

3. wanafunzi waliochunjwa hata kabla hawajapata chuo au kuanza chuo, washakuwa frustrated. hivi aliyebuni huo mfumo wa ukopeshaji, lengo lake hasa lilikuwa ni nini?

4. kwasababu watz wengi ni masikini hawawezi kuchangia, wapewe mkopo full na watarudisha, si wanasema hela zinakusanywa sasa awamu hii, si wakopeshe wanafunzi wasome sasa? full load.

5. jana wakati wanaongea kwenye tv, msomi mzima namshangaa analaumu wanafunzi ati kwanini wamerundikana kwenye course moja mfano ya land valuation, amesahau kuwa wao ndo wanawalazimisha wanafunzi warundikane na hiyo ni evidence kwamba wanafunzi wengi hawana uwezo kulipa ada kwa kuchangia ndo maana kila mtu amekimbilia kwenye priority courses. hao wasomi maofisini hawajui hilo? mnafanya nini ofisini kama mnashindwa kuelewa hayo?​
 
kuna connection kubwa kati ya maisha masikini ya watanzania na iyo issue ya priority courses. watoto wengi ni wa masikini na walienda kurundikana kwenye priority. waondoe hizo priority, kwasababu mtu anakopa mkopo wa kulipa, waachwe waamue course yoyote, si mkopo?
Hawana uhakika wa Ajira kwenye non priority courses. Sasa ukipewa mkopo utaulipaje?
 
Back
Top Bottom