We nani kakwambia kua zimechelewa???? mbona m naona kama tunataka zitoke kabla ya muda. And kutokana na missing information kwenye baadhi ya account za waombaji usitegemee zitoke hivi karibuni.
Tcu selection me ninazani zitatoka baadae sana but kufanya ivo sio poa kwa sababu watu wanatakiwa wajitambue kama wamechagulia au la ili waanze maandalizi kwa aliechaguliwa