TCU selection

mpiga era

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
2,078
Reaction score
2,269
Natumaini mu wazima wa afya.
Naomba kufahamu hivi selection za TCU hua zinaenda mpaka round ngapi ..? maana wamesema kuna 2 round Je 3 round IPO wakuu?????
Nawasilisha
 
inategemea na idadi ya watakaokosa, ila baada ya round kuisha ili kuhakikisha hakuna atakaekosa chuo na ana vigezo huwa inakuja ile first come first basis yaani unakuwa selected by just a single click system inakucheck eligibility ukifit unapata ukijichanganya ukaomba coz ya ajabu ndo inakuwa imetoka hakuna kurudii
 
Asante sana...!
 
Kunae watu wanajibu kama wametoka ku...n...y....a

Now zipo mbili,maana ufaulu wenyewe upo chini na wenye sifa wachache
 
nasikia kuna rummors matokeo yametoka ila hatuyaoni!!! yapo wapi
 
Mbona mm nmeingia kwenye profile yangau saivi hamna kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…