Sikuwemo kwenye list ya tcu ya waliojaziwa kozi ambazo hawakuomba.
Sikufuatilia kwasababu nlijua inawahusu waliowekewa vyou ambavyo hawakuomba, kwamaana mi nlichaguliwa SUA ambapo nliomba baadh ya kozi.
Nkachaguliwa hapo kozi nyingine ambayo ckuomba. Ss cha kushangaza ktk majina walioyatoa SUA ckuwemo.Nlipofungua ac.yangu Tcu nkaambiwa niconfirm, nkaconfirm
Sasa waswasi wangu n kwamba ntachaguliwa kweli kwenye second round wkt kwenye list simo!
Ushauri jaman maana hapa sina amani kabisa!
Sikufuatilia kwasababu nlijua inawahusu waliowekewa vyou ambavyo hawakuomba, kwamaana mi nlichaguliwa SUA ambapo nliomba baadh ya kozi.
Nkachaguliwa hapo kozi nyingine ambayo ckuomba. Ss cha kushangaza ktk majina walioyatoa SUA ckuwemo.Nlipofungua ac.yangu Tcu nkaambiwa niconfirm, nkaconfirm
Sasa waswasi wangu n kwamba ntachaguliwa kweli kwenye second round wkt kwenye list simo!
Ushauri jaman maana hapa sina amani kabisa!