co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,569
- 2,584
Mi lini hii time ya vyuo vikuu itafutwa?Maana sio kwa usumbufu huu tunaopata katika kuomba vyuo vya elimu ya juu. Mpaka sasa kuna maelfu ya wanafunzi hawajui hatma yao katika masomo,wameshindwa kabisa kusimamia hebu Waziri mhusika mjue hilo.
Kuna kitu kinaitwa confirmation codes ambapo unatumiwa kama umechaguliwa chuo zaidi ya kimoja sasa vioja ni kwamba wanaotoa hizo codes ni hao TCU lakini mpaka sasa hawajatoa na deadline ni leo na humu tangazo la kuconfirm limetoka jana sasa hii inakuwaje hebu Rais tusaidie sisi wanyonge
Kuna kitu kinaitwa confirmation codes ambapo unatumiwa kama umechaguliwa chuo zaidi ya kimoja sasa vioja ni kwamba wanaotoa hizo codes ni hao TCU lakini mpaka sasa hawajatoa na deadline ni leo na humu tangazo la kuconfirm limetoka jana sasa hii inakuwaje hebu Rais tusaidie sisi wanyonge