TCU/NACTE kwa Diploma Holders hawajafunga CAS

TCU/NACTE kwa Diploma Holders hawajafunga CAS

TheDealer

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
2,424
Reaction score
1,132
Kwa wale wanao apply chuo kikuu kupitia TCU/NACTE watakubaliana nami kuwa mfumo kuanzia majuzi bado inaruhusu applications na changes mbalimbali.

Applicants wanazidi kuongezeka ama kupungua kwenye choices mbalimbali.

Source: Ma group ya WhatsApp.

------------------------------------------------------------

My take: Sasa sytem kusema itafungwa tarehe 31.08.2016 saa sita usiku ilikuwa na maana gani?!

Karibuni wajuzi!
 
kwanza uelewe system ya nacte siku ya kufunga udahili ilikuwa down so wengi walishindwa ku apply pia wamefungua system kwaajili ya watu wa diploma waweze ku apply na system ndio hiyo inatumika pia na watu wa degree ndio maana iko open kwa wtu wote
 
kwanza uelewe system ya nacte siku ya kufunga udahili ilikuwa down so wengi walishindwa ku apply pia wamefungua system kwaajili ya watu wa diploma waweze ku apply na system ndio hiyo inatumika pia na watu wa degree ndio maana iko open kwa wtu wote
Unaongea kwa hisia ama kwa uhakika, maana dunia nzima inajua system imefungwa na itafunguliwa tar 12 sept
 
Back
Top Bottom