Tcu na cas yenu vipiiiiii leo ndo trh 7 mlio ahidi

Esir

Member
May 4, 2012
30
3
Msaada kwa aliyefanikiwa kuapply leo hii maana hawa jamaa wametuambia kwamba tutaanza kuapply leo trh 7 mwezi huu lakini bado system yao inakataa kupokea program choice zaidi ya nne nawakati wao wanasema chaguo la chini lisipungue 6 programs, lakini hata hizo sita hazifiki goma linachomoa na kukurudisha nyuma kwa home page, msada tafadhari
 
Goma mboa linadunda toka asubuhi mimi nawasaidia vijana hadi sasa nimewapiga tafu vijana 22,
Unatakiwa uaply cozi zisizopungua nane kwa vyuo vyote utakavyo ila kwa chuo kimoja kozi zisizidi tatu kwa maneno hayo basi, ni kwamba unaweza aply kozi moja kwenye kila chuo ukawa umeaply vyuo nane, au mbili mbili ukawa umeaply vyuo vinne au tatu tatu kwa vyuo viwili na kimoja ukaaply mbili. Si lazima ufikishe nane lakini hakikisha kozi unazo aply hazipungui sita in total. NA uwe na sifa nazo ukilinganisha ufaulu wako na cut off points.

OTE=Esir;3863180]Msaada kwa aliyefanikiwa kuapply leo hii maana hawa jamaa wametuambia kwamba tutaanza kuapply leo trh 7 mwezi huu lakini bado system yao inakataa kupokea program choice zaidi ya nne nawakati wao wanasema chaguo la chini lisipungue 6 programs, lakini hata hizo sita hazifiki goma linachomoa na kukurudisha nyuma kwa home page, msada tafadhari[/QUOTE]
 
Goma mboa linadunda toka asubuhi mimi nawasaidia vijana hadi sasa nimewapiga tafu vijana 22,
Unatakiwa uaply cozi zisizopungua nane kwa vyuo vyote utakavyo ila kwa chuo kimoja kozi zisizidi tatu kwa maneno hayo basi, ni kwamba unaweza aply kozi moja kwenye kila chuo ukawa umeaply vyuo nane, au mbili mbili ukawa umeaply vyuo vinne au tatu tatu kwa vyuo viwili na kimoja ukaaply mbili. Si lazima ufikishe nane lakini hakikisha kozi unazo aply hazipungui sita in total. NA uwe na sifa nazo ukilinganisha ufaulu wako na cut off points.

OTE=Esir;3863180]Msaada kwa aliyefanikiwa kuapply leo hii maana hawa jamaa wametuambia kwamba tutaanza kuapply leo trh 7 mwezi huu lakini bado system yao inakataa kupokea program choice zaidi ya nne nawakati wao wanasema chaguo la chini lisipungue 6 programs, lakini hata hizo sita hazifiki goma linachomoa na kukurudisha nyuma kwa home page, msada tafadhari
[/QUOTE]

correction minimum 6coarses max 8.
 
Goma mboa linadunda toka asubuhi mimi nawasaidia vijana hadi sasa nimewapiga tafu vijana 22,
Unatakiwa uaply cozi zisizopungua nane kwa vyuo vyote utakavyo ila kwa chuo kimoja kozi zisizidi tatu kwa maneno hayo basi, ni kwamba unaweza aply kozi moja kwenye kila chuo ukawa umeaply vyuo nane, au mbili mbili ukawa umeaply vyuo vinne au tatu tatu kwa vyuo viwili na kimoja ukaaply mbili. Si lazima ufikishe nane lakini hakikisha kozi unazo aply hazipungui sita in total. NA uwe na sifa nazo ukilinganisha ufaulu wako na cut off points.

Mpaka sasa system inasumbua. ukijaza mpaka nne au tano inajilog off hivyo kulazimika kuanza upya. nadhani ni matatizo ya system yao. Yawezekana wakati unajaza system ilikuwa imetengamaa.
 
goma mboa linadunda toka asubuhi mimi nawasaidia vijana hadi sasa nimewapiga tafu vijana 22,
unatakiwa uaply cozi zisizopungua nane kwa vyuo vyote utakavyo ila kwa chuo kimoja kozi zisizidi tatu kwa maneno hayo basi, ni kwamba unaweza aply kozi moja kwenye kila chuo ukawa umeaply vyuo nane, au mbili mbili ukawa umeaply vyuo vinne au tatu tatu kwa vyuo viwili na kimoja ukaaply mbili. Si lazima ufikishe nane lakini hakikisha kozi unazo aply hazipungui sita in total. Na uwe na sifa nazo ukilinganisha ufaulu wako na cut off points.

Ote=esir;3863180]msaada kwa aliyefanikiwa kuapply leo hii maana hawa jamaa wametuambia kwamba tutaanza kuapply leo trh 7 mwezi huu lakini bado system yao inakataa kupokea program choice zaidi ya nne nawakati wao wanasema chaguo la chini lisipungue 6 programs, lakini hata hizo sita hazifiki goma linachomoa na kukurudisha nyuma kwa home page, msada tafadhari
[/quote]

naomba nielekezwe nimeshindwa hata kuanza
. Column ya kwanza inasema enter code ya pili code cjaelewa tafadhali
 
Msaada kwa aliyefanikiwa kuapply leo hii maana hawa jamaa wametuambia kwamba tutaanza kuapply leo trh 7 mwezi huu lakini bado system yao inakataa kupokea program choice zaidi ya nne nawakati wao wanasema chaguo la chini lisipungue 6 programs, lakini hata hizo sita hazifiki goma linachomoa na kukurudisha nyuma kwa home page, msada tafadhari

Ni kweli hilo tatizo limenitokea ata mm,leo ni siku ya nne kila nikijaribu ku-add programmes zinakubali nne tu na ukiendelea zinakataa na kukurudisha home page.Nimejaribu kuwatafuta TCU kwa namba zao walizoto kwenye muongozo wao zote hazipatikani na cc wengine tupo mabonde kuinama huku sijui itakuwaje?.Ni vzr wakawa waangalifu na umakini wa hii system isije ikaenda kinyume na kusudio lengwa.
 
Back
Top Bottom