ok, nimekusoma yaani najuta kwa nn mwaka jana nilipata nafas sikuahirisha kiofisi UDOM. yaani usilolijuwa!!!! maana nimebaki na karata moja tu ya UDOM dirisha wamefunga matokeo bado..unaposikia kichwa kinasizi hata ukienda chooni unasahau umekwenda kufanya nini ndiyo wakati kama huu.