tcu hacked

dah chief upo ryt yan hata mim wananiudh sana hawa wa2 nadhan ingekua bora ki2 cha kwanza kuhack wizara ya sayans na tek kuliko ku hack website ambazo zipo kwa maslah ya nchi nzima and i really believe huyu hacker hana hata interest na elim ya watz who do u think it may be?
 

Upo saawa mkubwa lakini sidhani kama kuna mwenye akili anaweza kushabikia ila ni wameangalia upande mmoja wa shiling wakasahau upande mwingine.
Hope wameupata ujumbe wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…