mnajua ni upuuzi huu. Watu wakihack tcu at the end nani anafaidika??? Mnaona kama mnaikomoa serikali kumbe mnamkomoa mtoto wa mkulima. let say mtoto wa kigogo amepata 3 na hana sifa ya kuchaguliwa tcu na kaona hii thread tcu ipo hacked so anaweza eka uwezo wake wote ili ampate hackers ili aekwe na yeye kwenye majina ya waliochaguliwa
Mwenzangu na mimi maskin yupo kijijni hajui kinachoendelea anaambia hujachaguliwa na division one anabaki nyumban hana hata wa kumtetea.
Msishabikie vitu kama hivi