frankmkushi
Member
- Aug 15, 2012
- 13
- 2
Hawa tcu wanacheza 2 con kama wanafanya kazi mara ur admitted baada ya muda eligible ukirefresh wanakupa na chuo ulichochaguliwa tatzo likaja kw wengine walio mbali na info tech mpk wanakuja kufungua profile zao wanakuta k2 hakipo. Mi naona hawa expert wababaishaji kama kuna wale wanaosoma ki2 cha computer wakaze buti wa2ondolee hawa wababaishaji wa tcu. Mpk saiv wengne wana2ona liars cuz hawajakuta k2.