Mara kwa mara nimekuwa nikisoma post mbali mbali katika mitandao watu wakilalamikia App ya MS TANZANIA (Mobile Solutions Tanzania APPS) ambayo inapatikana kupitia PLAY STORE. Inadaiwa kuwa ukiidownload APP hii unaweza kuingilia na kupokea mawasiliano ya simu ya mtu mwingine kama vile ujumbe mfupi, WhatsAPP msg zake, simu anazopigiwa n.k.
Nilijaribu kuidowanload na kugundua kuwa ni kweli ipo APP ya aina hiyo na inajinadi kuwa na uwezo wa kuingilia mawasiliano ya watu wengine kwa gharama za Shs 36,000/= tu ambazo hutakiwa kulipwa kupitia namba ya Tigopesa Namba 0716489451. Pia mhusika anadai kuwa ukishalipia tuma ujumbe wa muamala huo wa Tigopesa kwa namba ya simu 0755809046 ili aweze kukutambua kuwa umelipia ndio akutumie "ACTIVATION CODE".
Je huu sio uhalifu wa kimtandao? Kitendo cha kuingilia mawasiliano ya watu sio makosa ya jinai? Wadhibiti wa sekta ya mawasiliano wanasemaje kuhusu hili?
Nilijaribu kuidowanload na kugundua kuwa ni kweli ipo APP ya aina hiyo na inajinadi kuwa na uwezo wa kuingilia mawasiliano ya watu wengine kwa gharama za Shs 36,000/= tu ambazo hutakiwa kulipwa kupitia namba ya Tigopesa Namba 0716489451. Pia mhusika anadai kuwa ukishalipia tuma ujumbe wa muamala huo wa Tigopesa kwa namba ya simu 0755809046 ili aweze kukutambua kuwa umelipia ndio akutumie "ACTIVATION CODE".
Je huu sio uhalifu wa kimtandao? Kitendo cha kuingilia mawasiliano ya watu sio makosa ya jinai? Wadhibiti wa sekta ya mawasiliano wanasemaje kuhusu hili?
