TCRA tazameni sasa hawa Dstv

wa ajabu sana hawa ,
kweli nilitegemea hata channel za michezo ziwe free air kwa kipindi hiki cha corona
 
Nimetumia ving'amuzi kadhaa
Ila DSTV tamu aisee!Wewe na pesa yako tu!Ukiendekeza unaweza jikuta siku nzima unashinda ndani kutazama TV!
Mimi ni mpenzi wa documentary za wanyama, michezo na action movies!
Ukiwa na DSTV huna haja ya kutafuta deck sijui vitu gani
 
Hivi bado kuna watu wanaihitaji TBC kweli?.Masikini nchi yangu.Mayoooooooo[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Mimi kifurushi kikiisha cha Dstv ni bora nikaangalia ile channel 100 ya matangazo kuliko Tbc
 
Sio DSTV tu hata king'amuzi cha ZUKU hata sielewi hii sheria haihusu kampuni zote?
 
Yani povu lote ilo kumbe unaililia TBC. Niliacha kuangalia TBC baada ya Tido Muhando kufukuzwa mwaka 2011. Mpaka leo sijawahi kuangalia sambamba na Clouds .

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…