Mitutu yote Ile unapata wapi nafasi? Mie sijawahi muona Kiongozi yoyote WA Tanzania live ni picha na TV na naishi mjini kitambo. SASA huyo aliepenya na kwenda kumuua Amiri Jeshi Mkuu mbona uongo huu umevaa gauni?. Wanajikosha maana ugonjwa alioudharau ndio umemuondoa ' Tusihofu kukaguliwa kaguliwa na tumafua'.
Tufanye basi kiongozi wetu kauwawa na wabaya wetu. Hao walinzi na wanaohusikana na ulinzi wake tangia mfagizi hadi DG bado wako ofisini?
Wajameni hii mambo si ya kuwapeleka wale mbumbumbu wa vyatto vijijini?
Hata huyu gwiji wao johnthebaptist amekuwa akiwaasa kuachana na upumbafu:
"Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake LIHIMIDIWE!"