TCRA mna kazi gani?

TCRA mna kazi gani?

Kwanini usiende ofisini kwa TCRA ukawauliza kwanini hawajatimiza ahadi yao?



Kwani kuna DSTV ngapi hapa Afrika?



Sina sababu ya kusema uongo, kama watumia premium jaribu utaona kuwa usipolipia bado TBC itakuwa inafanya kazi

Kwahyo TBC tu ndo ionekane huo ndo usanii tusioutaka local Chanel zote inabidi ziwe free TBC yenyewe vipindi vyake vingi vibovu kuacha bure ni kupotezea watazamaji mda.
 
Hebu tuiangalie hata Exchange Rate ya US Dollar ni shilingi ngapi tuache tu kulalamimika hapa zaidi ya tatizo.
CCM OYEE

Kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania pia ni uzembe wa serikali kwa kuto structure uchumi vizuri. Na hii imetokana na high importation ya products from western than exportation of our products. Tunapoagiza au kununua bidhaa yoyote toka nje mara nyingi tunalipa/tunatozwa kwa dollar. Hii inafanya serikali itafute dollar za kutosha ili kuweza kufanya manunuzi (procurement) nje ya nchi.

Kumbuka pia theory isemayo; "The higher the demand, the higher the price" Kupanda kwa dollar pia kunatokana na pesa hiyo kuhitajika kwa wingi kama almas katika sehem nyingi katika malipo km vile kwenye maduka makubwa, mahotelini, na kwenye makampuni mbalimbali.

Kama serikali ingekuwa makini kwa kuweka sheria kuwa malipo yote Tanzania yalipwe kwa Tshs nadhan shilingi isingeporomoka kwa kiasi kikubwa namna hii coz ingekuwa "high demanded" kitu ambacho kingeongeza thamani yake. Sasa hiv ni jambo la kawaida ukiingia kwenye baadhi ya mahoteli makubwa ukakuta malipo yanafanyika kwa dollar. Si mahoteli tu bali hata masuper markets makubwa baadhi yanataka malipo kwa dollar. Kwa mfumo huo ni lazima shilingi ishuke thamani tu!

TCRA ni mbwa asiyebweka na hakuna kazi wanayoifanya zaidi ya kutafuna mishahara na kuongeza vitambi vyao. Ningekuwa nina mamlaka ningevunja TCRA na kuunda chombo kingine ambacho kingepigania haki ya msingi ya watanzania ya mawasiliano. Walikuja kasi na ujenzi wa mkonge wa wa mawasiliano lakini sasahiv wamekuwa kimya tu sijui hata wameishia wapi. Kampuni ya TTCL nayo haikui sijui ndo njama zao TCRA ili makampuni ya simu za mkononi yaendelee kujipatia mahela ya bure bure kutoka kwa watanzania?
 
Kwani kuna DSTV ngapi hapa Afrika?

Ku africa, west africa na southern africa zoote zinarushwa na mult choice south africa sema channel zipo tofauti na gharama pia zimetofautiana baina ya nchi na nchi.

Sina sababu ya kusema uongo, kama watumia premium jaribu utaona kuwa usipolipia bado TBC itakuwa inafanya kazi[/QUOTE]

mkuu ukataji wa dstv si wa mara moja wanakata zile za mpira live wanakuja kama bbc,aljazeera,select na nyinginezo na sema inawezekana tbc inachelewa kutolewa lakin kwa muda fulani nayo itapotea tuu.sema huwa siangalii tbc hata ivyo naona tuliache tuu mkuu.
 
Kwani kuna DSTV ngapi hapa Afrika?

Ku Africa, West Africa na Southern Africa zoote zinarushwa na mult choice South Africa sema channel zipo tofauti na gharama pia zimetofautiana baina ya nchi na nchi.

Sina sababu ya kusema uongo, kama watumia premium jaribu utaona kuwa usipolipia bado TBC itakuwa inafanya kazi[/QUOTE]

mkuu ukataji wa dstv si wa mara moja wanakata zile za mpira live wanakuja kama bbc,aljazeera,select na nyinginezo na kila baada ya masaa sema inawezekana tbc inachelewa kutolewa lakin kwa muda fulani nayo itapotea tuu.sema huwa siangalii tbc hata ivyo naona tuliache tuu mkuu. Huku kwetu wapo kifedha zaid mkuu.
 
Kwanini usiende ofisini kwa TCRA ukawauliza kwanini hawajatimiza ahadi yao?

Hawa jamaa (TCRA) nimewahi kuwatumia barua pepe (email) kulalamika juu ya suala hili but hawakuwa hata na mda mchafu wa kujibu email yangu. Nilitamani hata kuwatukana but niliona utakuwa siyo ustarabu na haitakuwa suluhisho
 
Kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania pia ni uzembe wa serikali kwa kuto structure uchumi vizuri. Na hii imetokana na high importation ya products from western than exportation of our products. Tunapoagiza au kununua bidhaa yoyote toka nje mara nyingi tunalipa/tunatozwa kwa dollar. Hii inafanya serikali itafute dollar za kutosha ili kuweza kufanya manunuzi (procurement) nje ya nchi.

Kumbuka pia theory isemayo; "The higher the demand, the higher the price" Kupanda kwa dollar pia kunatokana na pesa hiyo kuhitajika kwa wingi kama almas katika sehem nyingi katika malipo km vile kwenye maduka makubwa, mahotelini, na kwenye makampuni mbalimbali.

Kama serikali ingekuwa makini kwa kuweka sheria kuwa malipo yote Tanzania yalipwe kwa Tshs nadhan shilingi isingeporomoka kwa kiasi kikubwa namna hii coz ingekuwa "high demanded" kitu ambacho kingeongeza thamani yake. Sasa hiv ni jambo la kawaida ukiingia kwenye baadhi ya mahoteli makubwa ukakuta malipo yanafanyika kwa dollar. Si mahoteli tu bali hata masuper markets makubwa baadhi yanataka malipo kwa dollar. Kwa mfumo huo ni lazima shilingi ishuke thamani tu!

TCRA ni mbwa asiyebweka na hakuna kazi wanayoifanya zaidi ya kutafuna mishahara na kuongeza vitambi vyao. Ningekuwa nina mamlaka ningevunja TCRA na kuunda chombo kingine ambacho kingepigania haki ya msingi ya watanzania ya mawasiliano. Walikuja kasi na ujenzi wa mkonge wa wa mawasiliano lakini sasahiv wamekuwa kimya tu sijui hata wameishia wapi. Kampuni ya TTCL nayo haikui sijui ndo njama zao TCRA ili makampuni ya simu za mkononi yaendelee kujipatia mahela ya bure bure kutoka kwa watanzania?

Mkuu pia ukiangalia hata wenzetu wana akiba Dhahabu kwenye mabenk yao kitu ambacho Dollar ikipanda wao wanatumia Gold kama kujidefend tofauti na hapa kwetu sidhani kama tuna hata akiba ya dhahabu pale BoT.
 
Mkuu pia ukiangalia hata wenzetu wana akiba Dhahabu kwenye mabenk yao kitu ambacho Dollar ikipanda wao wanatumia Gold kama kujidefend tofauti na hapa kwetu sidhani kama tuna hata akiba ya dhahabu pale BoT.

Yap, nayo ni moja ya sababu. Ndo maana sometime nikikaa na kutafakari naonaga kama Tanzania hakuna watalaamu wa UCHUMI! Wanashindwaje kuishauri serikali kupangilia vizuri uchumi wake?

Watu kama Prof. Ibrahim Lipumba wana degree za uchumi toka chuo kikuu bora duniani "HARVAD" kwanini hawaishauri serikali? Tuachane na Lipumba labda serikali inampuuza kwa vile yupo upinzani. Tuje kwa Mwigulu Nchemba. Huyu jamaa kasoma University of Dar es salaam na inasemekana alipata "FIRST CLASS" ya uchumi. Yupo ndani ya serikali ya CCM ambayo ndiyo iliyopo madarakani na ana cheo cha uwaziri; anashindwaje kuplan vyema uchumi wa Tanzania angalau hata sisi walala hoi tukajisikia ahueni?
 
Yap, nayo ni moja ya sababu. Ndo maana sometime nikikaa na kutafakari naonaga kama Tanzania hakuna watalaamu wa UCHUMI! Wanashindwaje kuishauri serikali kupangilia vizuri uchumi wake?

Watu kama Prof. Ibrahim Lipumba wana degree za uchumi toka chuo kikuu bora duniani "HARVAD" kwanini hawaishauri serikali? Tuachane na Lipumba labda serikali inampuuza kwa vile yupo upinzani. Tuje kwa Mwigulu Nchemba. Huyu jamaa kasoma University of Dar es salaam na inasemekana alipata "FIRST CLASS" ya uchumi. Yupo ndani ya serikali ya CCM ambayo ndiyo iliyopo madarakani na ana cheo cha uwaziri; anashindwaje kuplan vyema uchumi wa Tanzania angalau hata sisi walala hoi tukajisikia ahueni?

Tatizo moja la Tanzania Siasa inajenga Uchumi badala ya Uchumi kujenga Siasa na hapo ndipo tulipofeli.
 
Back
Top Bottom