R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,575
Kampuni kubwa za Google, Facebook, WhatsApp, Instagram zimekuwa zikifanya kazi bila ya usajili wala kulipa kodi kutokana na uzembe wa mamlaka ya TCRA, aidha kwa makusudi au TCRA kutojua namna ya kuzitoza kodi.
Ukinunua simu unakuta Google ishakuwa installed.
Nchi kama China kutokana na Facebook kukwepa kodi imezuiliwa software yake na shirika la kijasusi kutofanya kazi nchi ya China. Hata ukiwa na simu huwezi pata access ya kuchat kutumia facebook.
Lakini Tanzania haya mashirika makubwa yamekuwa yakijizolea pesa za kumwaga bila ya kusajiliwa.
Ukiangalia TCRA hawana kitengo kama Brella cha kusajili application software ,social networks.
Wameshindwa kutengeneza filter ya kuzuia social networks zisizolipa kodi kuoperate nchini.
Kuliko kuwatoza hawa maskini fedha za kingamuzi naomba wafungue kesi kuzishitaki kampuni hizi kuwa kufanya kazi kinyemela bila kibali cha serikali.
Ukinunua simu unakuta Google ishakuwa installed.
Nchi kama China kutokana na Facebook kukwepa kodi imezuiliwa software yake na shirika la kijasusi kutofanya kazi nchi ya China. Hata ukiwa na simu huwezi pata access ya kuchat kutumia facebook.
Lakini Tanzania haya mashirika makubwa yamekuwa yakijizolea pesa za kumwaga bila ya kusajiliwa.
Ukiangalia TCRA hawana kitengo kama Brella cha kusajili application software ,social networks.
Wameshindwa kutengeneza filter ya kuzuia social networks zisizolipa kodi kuoperate nchini.
Kuliko kuwatoza hawa maskini fedha za kingamuzi naomba wafungue kesi kuzishitaki kampuni hizi kuwa kufanya kazi kinyemela bila kibali cha serikali.
