TCRA imeshindwa kudhibiti matapeli wa simu?

TCRA imeshindwa kudhibiti matapeli wa simu?

enstein1

Member
Joined
Jul 14, 2009
Posts
68
Reaction score
29
Wanakupigia kuwa kuna pesa imekosewa kutumwa, unapowabaini wanakutukana matusi makubwa na kukata simu!

Hii ni kero nyingine. Nafikiri wahanga wengine wapo. TCRA tafadhali.
 
Tusubiri january usajili wa vidole labda utasaidia
 
Wanakupigia kuwa kuna pesa imekosewa kutumwa, unapowabaini wanakutukana matusi makubwa na kukata simu!

Hii ni kero nyingine. Nafikiri wahanga wengine wapo. TCRA tafadhali.
Hakuna kitu kam icho wanazingua tu tcra hawa.
 
Nadhani baada ya huu usajili mpya wa finger print mambo yatakuwa sawa
 
Back
Top Bottom