Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,279
- 8,494
Kuna watu waanzisha magroup ya whatsapp na kufanya donation ya pesa kuanzia shs 10,000 ambapo mchangiaji analipwa 70% baada ya siku tatu. Lakini baada ya kuwa wamekusanya pesa ya kutosha wanatoweka na kuwaaacha donators wakihangaika.
Kuna hawa watu wanaojiita STRONG INVESTMENT wameanza huu utapeli wa mbinu ya Piramidi.
1. 0743443073
2. 0757965122
Hawa ndio ma-Admin na ndio wanaopekea pesa.
Tafadhali chukueni hatua kuokoa waTanzania wenye uelewa mdogo juu ya haya mambo.
Kuna hawa watu wanaojiita STRONG INVESTMENT wameanza huu utapeli wa mbinu ya Piramidi.
1. 0743443073
2. 0757965122
Hawa ndio ma-Admin na ndio wanaopekea pesa.
Tafadhali chukueni hatua kuokoa waTanzania wenye uelewa mdogo juu ya haya mambo.