TCRA: Dstv na local channels za bure Tanzania

TCRA: Dstv na local channels za bure Tanzania

sirikambi

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
287
Reaction score
54
Wakuu,

Hawa DSTV wanaanza kuonyesha zile tv zetu za ndani bure lini?

TCRA tunaomba mtupe taarifa kamili lini wataonyesha bure?
 
azam local channel ni bure nadhani coz hata ikikata local channels bado zinaendelea
 
dstv wako hapa mainly soko lao sio wabongo ni foreigners ndo mana wanaweka channel kali kali na za ulaya na usa ndo mana wao hawajali kabisa uwezo wa fedha wa maskin wa apa, vingamuz vya maskin ni ivo vingine kaangalien mi chanel ya ajaibu ajabu
 
Mnataka bei elekezi hadi bundles za kwenye ving'amuzi vyenu?Free market economy;ukishindwa kumudu gharama unaachia ngazi.Go for FTA alilinunua babu hadi mjukuu analitumia.
 
Mnataka bei elekezi hadi bundles za kwenye ving'amuzi vyenu?Free market economy;ukishindwa kumudu gharama unaachia ngazi.Go for FTA alilinunua babu hadi mjukuu analitumia.

Soko huria siyo soko holela ndugu yangu.
 
Azam ni bure chaen za ndani maana mimi natumia na sisimuliwi
 
dstv ni jipu lingine lililofugwa na utawala uliopita, mimi sijalipia zaidi ya mwaka kuna mkali alifanya utundu sasa hivi nakula premium free of charge
 
Da tcra walitoa ufafanuzi kuwa channel za satellite hawaaziingilii biashara hivyo wao hawawezi kuweka bure ila Dstv kuna channel za kichina zote huwa ni bure kabisaaa so tujitahd sana,Azam local ni bure ofsn tunayo na hatijawahi kulipia,dstv wananitumia msg eti nihamie compact plus hiyo ni sh ngapi bana mi nalipa 23500 maana hakuna namna
 
Da tcra walitoa ufafanuzi kuwa channel za satellite hawaaziingilii biashara hivyo wao hawawezi kuweka bure ila Dstv kuna channel za kichina zote huwa ni bure kabisaaa so tujitahd sana,Azam local ni bure ofsn tunayo na hatijawahi kulipia,dstv wananitumia msg eti nihamie compact plus hiyo ni sh ngapi bana mi nalipa 23500 maana hakuna namna

Kwani sheria ya ving'amuzi au makampuni ya ving'amuzi hapa Tanzania inasemaje? kwanini wao wawe juu ya sheria hiyo?
Local channels zinatakiwa ziwe bure wao wanakaza. Magufuli tumbua jipu hili
 
Back
Top Bottom