TCL Smart TV inahitajika haraka.

TCL Smart TV inahitajika haraka.

nanjinji

Senior Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
150
Reaction score
124
Habarini wakuu..!

kama kwenye kichwa cha habari hapo juu kinavyosema, nahitaji screen aina ya TCL LED Smart Flat screen ya nch 32 kwa haraka sana yaani ikiwezekana mpaka kufikia kesho saa 3 asubuhi iwe imepatikana.
Napatikana DAR na bajeti yangu ni kati ya 480k mpaka 500k.

Tuwasiliane kwa namba 0625-772035
 
Nina nch 40. Mpya kwa laki 8 nikuletee?

‍♂️naenda zimbobo.
 
Nina 32 inch samsung nataka kubadili nuchukue kubwa kama upo interested nicheki bado iko poa sana model 4300
 
Back
Top Bottom