mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Drone ilipaishwa urefu usiokawaida na kujikuta ipo foot 100 karibu na Ndege hiyo iliyokuwa imebeba abiria.
Wataalamu wa Mambo ya usafiri wa anga Uingereza wameliingiza kwenye listi ya viashiria vya hatari vya juu "HIGH RISK" kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita.
ni matukio ambayo yametokea mara kwa mara ila hili walilitafsiri kuwa Drone ilipaa nje ya kimo cha kawaida "Beyond Practical Limits"
chanzo
Drone flew just feet from Boeing 787 over London Heathrow | Daily Mail Online
Maoni...
Kinga ni bora.
TCAA walipoleta wazo la Kuwa na vibali vya Kumiliki Drone waliona mbali.