APICHO MKWELI
Member
- Nov 3, 2014
- 9
- 1
Hivi karibuni shirika la viwango lilitangaza usaili kwa nafasi za kazi mbalimbali watu tuliitwa wengi kuliko ya kawaida ,mtihani wa maandishi uliisha, lakini uchaguzi(short list) haukufuata ufaulu,bali kwa upendeleo wa kindugu,rushwa na rushwa ya ngono. Hata walioitwa kwa usaili wa pili(oral) watu wao walipewa majibu ya mtihani live siku ya usaili(interview) jambo hili lina umiza na kukandamiza wenye haki.
Kwanini mkurugenzi apewe rushwa ya ngono ndipo apitishe mtu katika taasisi ya umma?
Vyombo husika vifuatile
mkweli
Kwanini mkurugenzi apewe rushwa ya ngono ndipo apitishe mtu katika taasisi ya umma?
Vyombo husika vifuatile
mkweli