TBS mpo makini kweli? Nyembe zilizotengenezwa Tanzania hazinyoi kabisa!!!

soweto85

JF-Expert Member
Sep 6, 2016
301
247
Yaani niko moto ni vibaya, nimenunua nyembe ka dozen kazima. Kuanzia saa mbili mpaka saa hizi nahangaika na wembe tuu, yaani kidevu kinawaka moto, kwapa linawaka moto, na huku kunako pia moto.

Yote hii ni kupenda tu bidhaa ya nchi yetu, uzalendo. Hivi kweli TBS mnafuatilia hizi bidhaa ? Hamjiulizi kwanini watanzania wanazipiga madongo bidhaa zinazotengenezwa na viwanda vyetu? Kwanini mnaacha nembo yenu itumike kwenye bidhaa duni? Dah !!

Kilichoniudhi zaidi nimepata mchepuko mpya nimeshindwa kuutendea haki kila sehemu nywele vifungu vifungu, na dozen yote imeisha. Nimetoa udhuru nimechelewa ofisini wakati leo Mei Mosi na nilishamrushia hela ya taxi.

Haya bwana nyie wajanja! Yaani nimepishana nayo hivi hivi. Duuuh !!!
 
nunua mashine ya kunyolea mkuu, hizi nyembe ni balaa tupu maana ukiteleza kidogo tu unakuta umei chanja p*mbu
 
yaani niko moto ni vibaya, nimenunua nyembe ka dozen kazima. kuanzia saa mbili mpaka saa hizi nahangaika na wembe tuu, yaani kidevu kinawaka moto, kwapa linawaka moto, na huku kunako pia moto. yoote hii ni kupenda tu bidhaa ya nchi yetu, uzalendo. hivi kweli TBS mnafuatilia hizi bidhaa ? hamjiulizi kwa nini watanzania wanazipiga madongo bidhaa zinazotengenezwa na viwanda vyetu ? kwa nini mnaacha nembo yenu itumike kwenye bidhaa duni ? dah !! kilicho niudhi zaidi nimepata mchepuko mpya nimeshindwa kuutendea haki kila sehemu nywele vifungu vifungu, na dozen yote imeisha. nimetoa udhuru nimechelewa ofisini wakati leo mei mosi. na nilisha mrushia hela ya tax. haya bwana nyie wajanja....!!! yaaani nimepishana nayo hivi hivi....duuuh !!!


Usikute hivi nyembe ni "Made in Tandale," na ni wachina ndiyo wanaotengeneza kusingizia makampuni ya wabongo.
 
yaani niko moto ni vibaya, nimenunua nyembe ka dozen kazima. kuanzia saa mbili mpaka saa hizi nahangaika na wembe tuu, yaani kidevu kinawaka moto, kwapa linawaka moto, na huku kunako pia moto. yoote hii ni kupenda tu bidhaa ya nchi yetu, uzalendo. hivi kweli TBS mnafuatilia hizi bidhaa ? hamjiulizi kwa nini watanzania wanazipiga madongo bidhaa zinazotengenezwa na viwanda vyetu ? kwa nini mnaacha nembo yenu itumike kwenye bidhaa duni ? dah !! kilicho niudhi zaidi nimepata mchepuko mpya nimeshindwa kuutendea haki kila sehemu nywele vifungu vifungu, na dozen yote imeisha. nimetoa udhuru nimechelewa ofisini wakati leo mei mosi. na nilisha mrushia hela ya tax. haya bwana nyie wajanja....!!! yaaani nimepishana nayo hivi hivi....duuuh !!!
Pole kaka.. Achana na vitu fake visivyo na ubora... Nunua philips cordless shaver utakuwa powa.. Pole sana... Mimi ninayo machine yangu mwaka wa tano.. Nikikuta mchepuko wangu una msitu kama wa mufindi naupiga kipara mwenyewe..
 
Kaongo ama kazushi kakubwa! Wembe gani usio na brand ya jina?
View attachment 50
1493701092118.jpg
3581[/ATTACH]

huo hapo
 
tunapenda kuunga mkono viwanda vyetu, lakini si kwa mtaji huu !!
 
Ungetumia kipande cha chupa mkuu achana na hizo nyembe za kibongo.
 
Back
Top Bottom