Upo sahihi kwamba Wazanzibar ni waumini wa Muungano, ila uwe wa hakki na usawa baina pande zote sio dudu hili tulokuwa nalo, lakini pia usitizame TV kisha eti ikawa ndio reference yako, huo ni ufinyu wa mawazo kwani ukumbi wa bwawani hauzidi watu 5000, na Wazanzibar wapo zaidi ya million 1.5, sasa huo utakuwa ni wendawazimu kulinganisha watu 5000 na mil 1.5....Nijuavyo Mushi ni Mtanzania.