Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
TBc Leo wametangaza Habari za Chadema kwa kutii Agizo LA Jemedari Dr J Pombe ambaye aliwaambia watangaze habari bila upendeleo
Uhuru wa habari rais anauthamini.TBc Leo wametangaza Habari za Chadema kwa kutii Agizo LA Jemedari Dr J Pombe ambaye aliwaambia watangaze habari bila upendeleo
mkutano wa Chademaimekuwaje kumetokea nini mpaka wakatangaza?
TBc Leo wametangaza Habari za Chadema kwa kutii Agizo LA Jemedari Dr J Pombe ambaye aliwaambia watangaze habari bila upendeleo
Bawacha huwa wote ni wagonjwa wa vichwa.... huwa hamuangalii Tbc halafu leo ndio mnasema kwa mara ya kwanza kutangaza habari za chadema ...mimi kila leo huwa naona habari zao kila leo...
Kumbe huwa unaangalia TBC ukija humu unajifanya huangalii TBCTBc Leo wametangaza Habari za Chadema kwa kutii Agizo LA Jemedari Dr J Pombe ambaye aliwaambia watangaze habari bila upendeleo