MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 716
- 1,144
Pamoja na kwamba sisi wenye decoder za Azam hatuna option ya kuangalia taarifa ya habari kupitia shirika letu la utangazaji la TBC lakini bado wanafanya makosa makubwa.
Leo nikiwa nimejiandaa kuangalia habari ya saa mbili usiku naona picha tu sauti haitoki.
Kulikuwa na habari muhimu sana juu ya ugonjwa wa Dengue lakini nimeishia kuwaona tu waziri wa Afya na naibu wake. Bora hata kungekuwa na msoma taarifa kwa alama pengine tungeambulia kitu kwa tuliosoma lugha za alama lakini wapi.
Waziri mkuu nae Kasim Majaliwa nimemwona lakini sijui kaongea nini.
Kuna haja ya kuipitia upya mitambo ya TBC.
Leo nikiwa nimejiandaa kuangalia habari ya saa mbili usiku naona picha tu sauti haitoki.
Kulikuwa na habari muhimu sana juu ya ugonjwa wa Dengue lakini nimeishia kuwaona tu waziri wa Afya na naibu wake. Bora hata kungekuwa na msoma taarifa kwa alama pengine tungeambulia kitu kwa tuliosoma lugha za alama lakini wapi.
Waziri mkuu nae Kasim Majaliwa nimemwona lakini sijui kaongea nini.
Kuna haja ya kuipitia upya mitambo ya TBC.