Tausi Mzalendo JF-Expert Member May 23, 2010 1,471 722 Feb 1, 2012 #1 Bunge linaendelea, Wabunge wanachangia mjadala, ila kwenye background kuna sauti za taarifa ya habari.... ikoje hii?
Bunge linaendelea, Wabunge wanachangia mjadala, ila kwenye background kuna sauti za taarifa ya habari.... ikoje hii?
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,603 68,509 Feb 1, 2012 #2 Proffesional ukiingiza na siasa ndo unapata hilo hila wao watakwambia hayo ni mambo ya kubadirisha mfumo wa analog kwenda digital
Proffesional ukiingiza na siasa ndo unapata hilo hila wao watakwambia hayo ni mambo ya kubadirisha mfumo wa analog kwenda digital