Kwenu,
Katika hali ya kushangaza jana TBC hawakutangaza habari ya kiongozi mkuu wa upinzani nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe kuachiwa
Kada maarufu wa CCM "Bollen Ngetti" ni mmoja wa watu waliolaani kitendo hicho na kuitaka TBC kama chombo cha habari cha Taifa ijitathmini upya. Unazungumziaje hii mdau?
Sent using
Jamii Forums mobile app