mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 771
Huo walioko kwenye hiyo show sio wa TZ?
Maney talk, wamepewa pesa show hairushwi bure
Kipind mjukuu wa malkia anao vyombo vyote vya habar vilielekezwa kwenye ile familia, yalikua yanatuhusu? Mbona hukuuliza?
Ni kitu gan unataka wakurushie? Yan tokea January mpk leo hujaridhika? Lala
Hahaaaa umenichekesha mkuu umeongea ukweli saa saba hii alitaka taarifa zp tn,kilimo.bora cha viaz au mpunga?akalale huko