Wee ndo janga la Taifa. Kwani TBC hawawekagi miziki katika vipindi vyao vya kawaida. Kazi kuponda tuuu. Kajenge Taifa sasa hivi na wewe uko bize kutafuta kasoro tu.
Majibu yako yanaonyesha hujielewi wala hujitambui...hii ndo shida ya kujibizana na vidada poa kama wewe.
Nimekuuliza TBC huwa hawarushi vipindi vya burudani??? ........! Badala ya kujibu, unaanza kujihami. Sasa Unashangaa nini kuona wanarusha Serengeti Fiesta 2014 tena jumamosi usiku saa tano?? Na ni kipindi gani cha kitaifa ambacho huonyeshwa tbc1 kuanzia saa nne usiku ambacho umekimiss?? Yaonyesha unatafuta tu cha kuposti maana TBC hauijui. Huwa wanarusha vipindi vya burudani ikiwemo miziki. Nafikiri mimi ndo nisijibishane na wewe usiye jua ulichopost. Tatizo kila kitu unaleta siasa na uchama. Ebu burudika kidogo, let ur balls loose angalau kwa masaa kadhaa, punguza kubana.